-Huendesha mfumo wa kinga ya mwili
-Huzuia saratani
-Hutoa ahueni kwa wenye pumu
- Hupambana na dalili za awali za ugonjwa wa figo
-Huongeza nishati ya ubongo

-Huyeyusha damu, huifanya kuwa nyepesi
- Huilinda mishipa ya damu isiharibike
-Huzuia damu kuganda
-Hushusha shinikizo la damu
-Hupunguza hatari ya kupatwa na mshituko wa moyo na kiharusi
-Hutuoa ahueni kwa wenye ugonjwa wa kipandauso
-Husaidia kuzuia uvumbe mwilini
No comments:
Post a Comment