- haya ni baadhi ya maoni yaliyotolewa na baadhi ya wanafunzi wanaosoma na walio wahi kusoma chuo hicho baada ya raisi wa chuo kijiuzulu
- Hussein Said Kiongoz vp tena ukaamua kuchukua maamuz magumu nn shida.?
- Precious Keyler Prosper pole dogo hata sisi tulitamanigi kujiuzulu lkn tulikomaa mpaka mwisho...ndo uongozi
- Annie Gasper Y u do this jaman y?
- Charles Kikoricho Binafsi bila kung'ata maneno nawataka viongozi wa chuo watambue kuwa taasisi hiyo imekuwa sasa sio kama taasisi ya mwaka juzi ifike sehemu waelewe kuwa hakuna uongozi usiokuwa na katiba serikali yeyote ile inaongozwa kwa katiba sasa iweje wapinge mimi nasema kuna lao jambo .unazalisha mwandishi ambae hajaongozwa kwa katiba huku atakuja kuandika habari za watu wenye katiba ataweza du hakika bongo bora angekuwepo mandela na nyerere NIMEIPENDA HII SHADY MAANA HATA KWENYE FAMILIA HUWA KUNA KATIBA
- Kiyyian Ole Kiyiapi Naona ilikuwia ngumu kuendlea kuzungumza mengi,hata dk 4 ulizosema utaongea hukuzifikisha,2tambue hili hata katiba ya nchi ilitungwa na watu 11 ,hivyo basi 2siumie sana maana hata Tz haina katiba,this are different periods that the country constitution...See More
No comments:
Post a Comment