THREE WHITE DADAS BLOG

Pages

  • Home
  • HABARI
  • MICHEZO
  • LOVE STORY
  • MAKALA
  • SIASA
  • UCHUMI
  • UTAMADUNI
  • ABOUT US

TANGAZA NASI HAPA

TANGAZA NASI HAPA

Thursday, 1 May 2014

GODBLESS LEMA AZIDI KUMWANDAMA RAISI KIKWETE!!!!!!!


Mbunge wa Arusha mjini Mh. Godbless Lema akihutubia wakazi wa jiji la Arusha katika viwanja vya levolosi maarufu kwa jina la Samunge hivi karibuni ambapo umati wa wakazi hao ulijitokewza kwa wingi kumsikiliza mbunge huyo

WAKAZI wa jiji la Arusha wakimsikiliza kwa makini mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema alipokuwa akielezea   sababu za ukawa kujitoa katika bunge la katiba hivi karibuni na kuwataka wakazi hao watoe ushirikiano kwa wajumbe hao watakapotembelea jiji hili katika ziara zitakazofanyika nchi nzima kueleza na kushinikiza maoni ya wananchi yaheshimiwe na serikali ya ccm

 

Katika mkutano huo mh. LEMA pamoja na mambo mengine alielezea kusikiktishwa na RAISI Kikwete baada ya kuwataka wakazi wa Karatu wasiige siasa chafu za Arusha zinazoendeshwa kwa maandamano yanayoshinikizwa na lema kila linapotokea jambo linalohusu mustakabali wa maisha ya wakazi wa jiji hilo

Alisisitiza kuwa maandamano ni haki ya msingi ya kila raia wa TANZANIA ili kudai haki wanayodhani kuwa hawajapatiwa na pia ndiyo njia pekee ya kutoa sauti ya wanyonge kwa viongozi wa serikali na kudai kuwa ataendelea kuitisha maandamano ya wananchi kila mara mpaka pale ambapo serikali itawasikiliza wakazi wake wa Arusha.
Posted by WHITE DADAS at 00:43
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

STORI MPYA KALI

  • HAYA NDO MAMBO MUHIMU YANAYOZIDISHA UPENDO KATIKA MAPENZI
      katika Mapenzi kuna vitu vingi unaweza kumfanyia Mpenzi wako ukamfurahisha na kumfanya azidishe Mapenzi ila katika safu hii nitazungum...
  • Baada ya LULU kupata Mchumba, SINTAH ampa darasa la Mapenzi..!!
    N inakutakia kila la kheri ila kuwa muangalifu na wanaume maana kuna wa aina mbili masikini na matajiri, wale masikini watakupenda kwa dha...
  • HATA KAMA UMZURI, BILA UTUNDU FARAGHA HUNA NYIMBO!
      Mapenzi yana kanuni zake, kanuni ambazo usipozifuata huwezi kupata furaha uliyotarajia. Unapotokea kumpenda mtu, hiyo ni hatua ya kwanza...
  • CCM watoa ufafanuzi kuhusu mawaziri mizigo
    Katibu wa Itikadi na Uenezi waCchama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye  Katika mabadiliko hayo, Rais aliwateua mawaziri wapya 10 na kuwapa...
  • 18++ Hii kwa wanafunzi mnaopenda kujifotoa picha za uchi..!!
    Niwape hi kwa furaha sana wapendwa wasomaji wa safu hii, ingawa zaidi ningependa ziwafikie wanafunzi popote pale gazeti hili
  • Chadema: Bodaboda achaneni na Lowassa
    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa akihutubia mkutano wa Operesheni Pamoja Daima katika mji w...
  • HAYA HUWAFANYA WANAWAKE KUSITA KUINGIA KATIKA NDOA (KUOLEWA)
      Pamoja na kuwa kuna wanawake husita kuolewa, lakini jambo hili si kubwa sana kwa wanawake kama ilivyo kwa wanaume. Kwa kiasi kikubwa...
  • End of the goodnight kiss? 80% of couples go to sleep without even a simple peck (and 90% don't even bother to say 'I love you').
    Even after the passion has faded a little, a goodnight kiss doesn’t seem too much to expect from your partner. But according to resea...
  • Dk Kigwangalla hatarini CCM
    Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamis Kigwangalla akichangia jambo bungeni siku za hivi karibuni mjini Dodoma.   Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi...
  • Mtoto aliyepigwa na babake na kulazwa afariki dunia
    Taarifa zilizopatikana na kuthibitishwa na Daktari wa Wodi ya Watoto wa hospitali hiyo, Sada Juma Mbwana zinasema, mtoto huyo amefariki dun...

About Me

My photo
WHITE DADAS
View my complete profile

POPULAR POST

  • FASHION:MISHONO YA VITENGE KWA WADADA
     
  • FAHAMU AINA 61 ZA UBANAJI WA NYWELE NA SIKUHIZI NAONA HATA KINA DADA WA BONGO WANATUMIA SANA BAADHI YA STYLES HIZI KATIKA WEAVING KUSUKA SUKA FULANI KWAKUWA HAWANA NYWELE NDEFU HAYA UBUNIFU HUO HAPO ZAIDI ENDAPO UNA WEAVING ORIGINAL UNAWEZA BANA HIVYO AU KUSUKA HIVYO ILA KUMBUKA TU WENZETU WAMEJALIWA NYWELE SO HIZO SIO FEKI
    ...
  • FASHION::MISHONO MIZURI YA MAGAUNI YA HARUSI ANGALIA HAPA..................
     
  • MAPENZI MATAMU SANA....MDADA FAHAMU NJIA 18 ZA "KUMSHIKA" KIDUME YEYOTE ULIMWENGUNI...!
    I was single once, but now i'm a wife and a mother. Nimekaa nikaona sio vibaya iwapo nta-share tips kadhaa zilizonisaidia kumuweka...
  • FASHION:Mishono Mipya ya vitenge kwa wadada hii sio ya kukosa shona upendeze
    Naweza kukiri kwamba kitenge na kanga ndio nguo pekee itakayo kutambulisha wewe kuwa ni mtu kutoka katika bara la Africa na itakufanya w...
  • MAANA HALISI YA RANGI KATIKA ISHARA, MUONEKANO WA MTU PAMOJA NA VITO VYA THAMANI.
    Rangi inaweza kuelezea hisia zetu, matendo yetu na hata namna tunavyoweza kuvichukulia vitu  katika masuala mbalimbali ikiwemo watu, vitu...
  • MISHONO MIPYA YA KITENGE 2014!!!
  • Kwa wanaume tu: Njia ya kuzuia kufikia kilele (kupizi) haraka
    Sababu ya tatizo hili huweza kuwa ya Kibaiolojia na Kiakili. Kama wewe  pia ni moja yao na unapenda kujua jinsi ya zuia hali hii, endelea...
  • SOMA HAPA KAMA HUWEZI KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI KWA MUDA MFUPI NA NAMNA YA KUMKUNA IPASAVYO!!!!
                    Karibuni katika somo jingine ndugu wapenzi wa blog hii na wale wa page yetu ya facebook. kumekuwa na maombi kama huwezi ...
  • FASHION:NGUO NDEFU PIA ZINAPENDEZA KWENYE KITCHEN PARTY CHECK HAPA.................
     

Blog Archive

Simple theme. Powered by Blogger.