Saturday, 25 October 2014

DARASA LA MAPENZI:HIZI NDIZO KAULI 8 TATA ZA WANAWAKE, WE MWANAUME UKIAMBIWA JIHADHARI SANA, ISIJE KULA KWAKO...!!




1. Mwanamke anaposema, 'sasa hivi' au 'dakika moja tu,' maana yake ni kwamba,
ni nusu saa ijayo. kwa mwanamke sasa hivi ya kujiandaa ina maana sasa hivi ya muda mrefu mara sita zaidi kuliko ule anaoutaja. kama akisema , 'nusu saa tu, naja,' unapaswa kwenda kufanya shughuli nyingine kwanza, kwa sababu huenda ukiamua kuamini kwamba ni nusu saa kweli, utasimama au kukaa mahali kumsubiri hadi miguu iingie tumboni au makalio yaote ganzi.

MAPENZI:KUOA SIO JAMBO DOGO KAMA UNAVYODHANI, INAHITAJI KUJIPANGA KWELI KWELI...!!



Hivi jamani, mnazijua gharama anazoingia bwana harusi hadi anapooa? Katika
hali ya kawaida kabisa, kama wewe ni mwanaume na unataka kuoa, jiandae kwa mambo haya: (hizi ni gharama utakazoingia nje ya michango ya harusi)

Wednesday, 23 July 2014

USINGIZI UNAVYOWEZA KUMWEPUSHA MTU NA MAGONJWA YA KISUKARI, MAGONJWA YA MOYO NA UPUNGUFU WA KINGA YA MWILI



 Unafikili ni wazo zuri kuamka  saa 11 za asubuhi na kufanya mazoezi? Je, ingekuwa vipi kama ungetumia muda huo
kulala?

HIVI NDIVYO VITU HATARI VINAVYOWEZA KUHARIBU NA KUVUNJA NDOA YA WAPENDANAO KATIKA FAMILIA!!


 WAPENZI wanagombana, ndoa zinavunjika na familia nyingi zipo kwenye msoto kwa sababu ya ubinafsi. Tunazungumza mengi lakini ukweli ni kwamba endapo kila mmoja atafanikiwa kuushinda ubinafasi, upendo utashamiri kila kona.

HAYA NDO MAMBO MHIMU YA KUZINGATIA KABLA YA KUOA AU KUOLEWA!!


 KUNA baadhi ya sababu zinazosababisha watu kuoana pasipo kufanya maamuzi sahihi. Wanandoa wengi huingia katika ndoa wakitegemea mambo mengi kubadilika, kitu ambacho ni makosa yanayosababisha ndoa nyingi kuvunjika. 

MBINU NA UJANJA WA KUMPA UMPENDAYE SABABU ZA KUKUFANYA WAKE WA MAISHA!

MACHOZI siyo suluhisho la matatizo. Baadhi ya watu wamekuwa wakilia sana baada ya kukutana na mambo ambayo hawaoni njia za kutokea. Kifupi kulia siyo tiba, zaidi unaweza kuwa unajiumiza badala ya kutafuta utatuzi

kwa wanawake;VITU ADIMU KWA MWANAMKE KUMFANYIA MME WAKE ILI ASITOKE NJE YA NDOA!!


 Mapenzi yana kanuni zake, kanuni ambazo usipozifuata huwezi kupata furaha uliyotarajia. Unapotokea kumpenda mtu, hiyo ni hatua ya kwanza lakini omba sana upate ile bahati ya kumpenda mtu ambaye naye anakupenda kwa dhati.

SAIKOLOJIA YA MWANAUME KATIKA MAHUSIANO NA JINSI MWANAMKE ANAVYOWEZA KUITUMIA KULETA AMANI NYUMBANI


 Kuna msemo unasema kuwa "mapenzi yanaongoza dunia" kila mtu anayo haki ya kupenda kwa mujibu wa taratibu mbali mbali za dunia hii. 

Friday, 18 July 2014

HIZI NDIZO SABABU ZA NDOA ZA WATU WALIOPENDANA SANA NA KUTUMIA GHARAMA KUBWA KUACHIKA!....



 Kwenye suala la kuachika/acha/achwa haliegemei sana kwenye kuyajua mambo kitandani, kwani Ndoa au Mahusiano sio Ngono pekee Natambua kuwa Makungwi wengi wa "Kizazi Kipya" wanafunza mwanamke kuonyesha mapenzi na mavituzi ili asiachwe....na sio Maisha ya Ndoa, Uzazi n.k.  

Je unajua???Wanawake Wengi Walioolewa ni Wepesi wa Kuchepuka..Yaani Simple Kama Kumsukuma Mlevi..Sababu Ipo Hapa


Wanawake wengi walioolewa wamekuwa wepesi (achilia mbali vidada ambavyo havijaolewa, ingawa navyo ni majanga lakini, afadhali mitego yao kidogo ni negotiable).

Wednesday, 16 July 2014

UKIONA DALILI HIZI KWA MWENZI WAKO JUA KARIBIA UNAACHWA...........



Hakuna anaeweza kukili kuwa hateswi na mahusiano ya mapenzi sii mwalimu au mzazi wala meneja hata mkurugenzi lakini mapenzi yatawala dunia nzima sasa tujifunze hili kidogo

Tuesday, 15 July 2014

Sunday, 13 July 2014

KWA WENYE WAPENZI TU,,,,,,,,,, TWENDE SAWAAA



                         Wajua mikao na mitindo ya kungonoana, Namna je?
Ukweli wa siku ya leo ni kuwa mikao na mitindo ya ufanyaji wa mapenzi/ngono ni vitu viwili tofauti na vilevile kuna namna ya kufanya mapenzi/ngono kitu ambacho ni kitu kingine kabisa ambacho kinajitegemea na hutegemea zaidi nia yenu ninyi wawili au wewe peke yako siku hiyo, ndoa/uhusiano ulipo/unapokwenda, matatizo ya kimaisha, n.k.

Watumiaji wa kucha bandia hii inakuhusu,Soma kilicho mtokea huyu mdada

Msichana Sarah Greenaway mwenye umri wa miaka 17 amekosa kidole chake baada ya kutumia gundi ya kugandishia kucha bandia.

Saturday, 12 July 2014

CHUMBA CHA MAHABATI AKIHITAJI PUPA WALA PAPARA...KWA WENYE UMRI WA 18+ PEKEE PITA HAPA ILA KAMA UMEFUNGA PITA KULEEE!!!

NGUO ZINAZOFAA KUVALIWA CHUMBANI,UKIWA NA MPENZI WAKO.

WALAHI NAKWAMBIA USIPOMFANYIA HIVI WAKATI WA KUMPA RAHA ZA MAHABATI KUNAKO SABA KWA 9 BASI JIANDAE KUKIMBIWA.


  UMUHIMU WA KUFIKISHANA KILELENI.

KWA WALE WALIO MBAL NA WAPENZ MAWASILIANO NI MUHIMU

Wewe ni mwanamke au mwanaume ulikuwa na mpenz wako Yawezekana mlikuwa mnafanya kazi pamoja lakini mmoja akahamishiwa mkoa mwingine au mlikuwa mnasoma pamoja na kuanzisha uhusiano lakini baada ya kumaliza masomo kila mmoja akarudi kwao na kujikuta mkiwa mbali mbali licha ya kwamba mnapendana kwa dhati.

Friday, 11 July 2014

TAFAHDLI KAMA UNAJUA UMEFUNGA USIINGIE HAPA..NI KWA WASIOFUNGA TU PATA UTAMU WACHUMBANI 18+ TAFADHALI


 MAMBO MAKUU 4 UNAPOKUWA CHUMBANI
NA MPENZI WAKO
Mambo ya Chumbani hayoooo!!
Fahamu mambo 4 muhimu unayopaswa
kuyazingatia uwapo chumbani na mpenzi
wako mnapotaka kufanya mapenzi.

FASHION:Mishono Mipya ya vitenge kwa wadada hii sio ya kukosa shona upendeze



Naweza kukiri kwamba kitenge na kanga ndio nguo pekee itakayo kutambulisha wewe kuwa ni mtu kutoka katika bara la Africa na itakufanya wewe ujivunie Uafrika wako angalia hapa mishono mipya

UTAFITI:Simu Ya Mkononi Inaweza Kuathiri Mbegu Za Mwanaume...Soma Hapa


Uchunguzi wa utafiti kutoka chuo kikuu cha Exeter nchini Uingereza, unapendekeza kuwa idadi ya mbegu za uzazi za wanaume huathiriwa kwa kuweka simu za mkononi kwenye mifuko ya suruale
Hata hivyo ,mwana sayansi wa maswala ya uzazi na shahawa,alisema kuwa ushahidi huo bado haukuwa na uhakika wowote hivyo basi simu yake bado inaendelea kukaa mfukoni mwake.