Wednesday, 16 July 2014

UKIONA DALILI HIZI KWA MWENZI WAKO JUA KARIBIA UNAACHWA...........



Hakuna anaeweza kukili kuwa hateswi na mahusiano ya mapenzi sii mwalimu au mzazi wala meneja hata mkurugenzi lakini mapenzi yatawala dunia nzima sasa tujifunze hili kidogo

Tuesday, 15 July 2014

Sunday, 13 July 2014

KWA WENYE WAPENZI TU,,,,,,,,,, TWENDE SAWAAA



                         Wajua mikao na mitindo ya kungonoana, Namna je?
Ukweli wa siku ya leo ni kuwa mikao na mitindo ya ufanyaji wa mapenzi/ngono ni vitu viwili tofauti na vilevile kuna namna ya kufanya mapenzi/ngono kitu ambacho ni kitu kingine kabisa ambacho kinajitegemea na hutegemea zaidi nia yenu ninyi wawili au wewe peke yako siku hiyo, ndoa/uhusiano ulipo/unapokwenda, matatizo ya kimaisha, n.k.

Watumiaji wa kucha bandia hii inakuhusu,Soma kilicho mtokea huyu mdada

Msichana Sarah Greenaway mwenye umri wa miaka 17 amekosa kidole chake baada ya kutumia gundi ya kugandishia kucha bandia.

Saturday, 12 July 2014

CHUMBA CHA MAHABATI AKIHITAJI PUPA WALA PAPARA...KWA WENYE UMRI WA 18+ PEKEE PITA HAPA ILA KAMA UMEFUNGA PITA KULEEE!!!

NGUO ZINAZOFAA KUVALIWA CHUMBANI,UKIWA NA MPENZI WAKO.

WALAHI NAKWAMBIA USIPOMFANYIA HIVI WAKATI WA KUMPA RAHA ZA MAHABATI KUNAKO SABA KWA 9 BASI JIANDAE KUKIMBIWA.


  UMUHIMU WA KUFIKISHANA KILELENI.

KWA WALE WALIO MBAL NA WAPENZ MAWASILIANO NI MUHIMU

Wewe ni mwanamke au mwanaume ulikuwa na mpenz wako Yawezekana mlikuwa mnafanya kazi pamoja lakini mmoja akahamishiwa mkoa mwingine au mlikuwa mnasoma pamoja na kuanzisha uhusiano lakini baada ya kumaliza masomo kila mmoja akarudi kwao na kujikuta mkiwa mbali mbali licha ya kwamba mnapendana kwa dhati.

Friday, 11 July 2014

TAFAHDLI KAMA UNAJUA UMEFUNGA USIINGIE HAPA..NI KWA WASIOFUNGA TU PATA UTAMU WACHUMBANI 18+ TAFADHALI


 MAMBO MAKUU 4 UNAPOKUWA CHUMBANI
NA MPENZI WAKO
Mambo ya Chumbani hayoooo!!
Fahamu mambo 4 muhimu unayopaswa
kuyazingatia uwapo chumbani na mpenzi
wako mnapotaka kufanya mapenzi.

FASHION:Mishono Mipya ya vitenge kwa wadada hii sio ya kukosa shona upendeze



Naweza kukiri kwamba kitenge na kanga ndio nguo pekee itakayo kutambulisha wewe kuwa ni mtu kutoka katika bara la Africa na itakufanya wewe ujivunie Uafrika wako angalia hapa mishono mipya

UTAFITI:Simu Ya Mkononi Inaweza Kuathiri Mbegu Za Mwanaume...Soma Hapa


Uchunguzi wa utafiti kutoka chuo kikuu cha Exeter nchini Uingereza, unapendekeza kuwa idadi ya mbegu za uzazi za wanaume huathiriwa kwa kuweka simu za mkononi kwenye mifuko ya suruale
Hata hivyo ,mwana sayansi wa maswala ya uzazi na shahawa,alisema kuwa ushahidi huo bado haukuwa na uhakika wowote hivyo basi simu yake bado inaendelea kukaa mfukoni mwake.