Manchester City ilikuwa imeshinda mechi zote 11 ilizokuwa imecheza nyumbani kabla ya kukutana na Chelsea.
Bao la Chelsea lilifungwa na Branislav Ivanovic katika kipindi cha kwanza .
Kocha Pellegrini wa ManCity
Liverpool iko katika nambari ya nne, Everton ni ya tano ilhali Tottenham ni sita huku Manchester United ikishikilia nafasi ya saba.
No comments:
Post a Comment