THREE WHITE DADAS BLOG

Pages

  • Home
  • HABARI
  • MICHEZO
  • LOVE STORY
  • MAKALA
  • SIASA
  • UCHUMI
  • UTAMADUNI
  • ABOUT US

TANGAZA NASI HAPA

TANGAZA NASI HAPA

Thursday, 1 May 2014

GODBLESS LEMA AZIDI KUMWANDAMA RAISI KIKWETE!!!!!!!


Mbunge wa Arusha mjini Mh. Godbless Lema akihutubia wakazi wa jiji la Arusha katika viwanja vya levolosi maarufu kwa jina la Samunge hivi karibuni ambapo umati wa wakazi hao ulijitokewza kwa wingi kumsikiliza mbunge huyo

WAKAZI wa jiji la Arusha wakimsikiliza kwa makini mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema alipokuwa akielezea   sababu za ukawa kujitoa katika bunge la katiba hivi karibuni na kuwataka wakazi hao watoe ushirikiano kwa wajumbe hao watakapotembelea jiji hili katika ziara zitakazofanyika nchi nzima kueleza na kushinikiza maoni ya wananchi yaheshimiwe na serikali ya ccm

 

Katika mkutano huo mh. LEMA pamoja na mambo mengine alielezea kusikiktishwa na RAISI Kikwete baada ya kuwataka wakazi wa Karatu wasiige siasa chafu za Arusha zinazoendeshwa kwa maandamano yanayoshinikizwa na lema kila linapotokea jambo linalohusu mustakabali wa maisha ya wakazi wa jiji hilo

Alisisitiza kuwa maandamano ni haki ya msingi ya kila raia wa TANZANIA ili kudai haki wanayodhani kuwa hawajapatiwa na pia ndiyo njia pekee ya kutoa sauti ya wanyonge kwa viongozi wa serikali na kudai kuwa ataendelea kuitisha maandamano ya wananchi kila mara mpaka pale ambapo serikali itawasikiliza wakazi wake wa Arusha.
Posted by WHITE DADAS at 00:43
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

STORI MPYA KALI

  • 18++ Hii kwa wanafunzi mnaopenda kujifotoa picha za uchi..!!
    Niwape hi kwa furaha sana wapendwa wasomaji wa safu hii, ingawa zaidi ningependa ziwafikie wanafunzi popote pale gazeti hili
  • Mwanamke na kufika kileleni
    Inasemekana kuwa asilimia kubwa ya wanawake huwa hawafikii kabisa kilele kwa upungufu wa nyege au matatizo mengine ya kimaumbile tukiachili...
  • Majaji wamnusuru Jerry Muro na wenzake..........
    Aliyekuwa mtangazaji wa Shirika la Utangazaji,Tanzania Jerry Muro kulia akiwa nje ya Mahakama ya rufaa jijini Dar es Salaam. MAHAKAMA ...
  • CHANZO CHA KIFO CHA MSANII ALBERT MANGWEA
    Ngwea  akiwa na msanii  M to the P  jana south africa. Kuna taarifa kuwa chanzo cha kifo cha ghafla cha rapper Mangweir ni kuzidisha mad...
  • UNYAMA: KIJANA AUA MAMA YAKE KWA JEMBE HUKO KAHAMA,TUNAOMBA RADHI KWA PICHA
    Katika hali ya kusikitisha ,kuhuzunisha na isiyokuwa ya kawaida kijana mmoja mkazi wa kijiji cha Mwakuhenga wilayani Kahama mkoani Shiny...
  • BASATA KUNA KITU WANATAFUTA KUTOKA KWANGU....." NEY WA MITEGO
    Siku chache zilizopita mwana Hip Hop kutoka pande za Manzese Nay Wa Mitego alipokea barua kutoka BASATA inayomtaka kubadili aina ya mava...
  • Polisi wadaiwa kuua, kujeruhi raia
    Kwa mujibu wa Kamanda Ouma, baada ya askari kumfikisha mtuhumiwa kituoni na kumfungia mahabusu, wananchi walifuatilia na kufika kituoni ali...
  • MAPENZI MATAMU SANA....MDADA FAHAMU NJIA 18 ZA "KUMSHIKA" KIDUME YEYOTE ULIMWENGUNI...!
    I was single once, but now i'm a wife and a mother. Nimekaa nikaona sio vibaya iwapo nta-share tips kadhaa zilizonisaidia kumuweka...
  • UNYAMA:Mume Amuaa Mkewe Mjamzito wa miezi 9 kwa kumpiga mawe...Alikuwa amebakiza Siku 2 tu Ajifungue..!!
      JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, linamshikilia Philemon Ng’ambi, mkazi wa Madale Kata ya Wazo, jijini Dar es Salaam kwa tuhum...
  • WANAUME MSIDANGANYIKE NA MIKOROGO YA WANAWAKE,CHEKI PICHA UONE WANAWAKE NA SURA ZAO ORIJINO NA FEKI .
      Tazama  jinsi  wanaume  tunavyoibiwa  na  akina  dada  wa  leo.Picha  za  kushoto  ni  picha  origina  za  warembo  hawa  kabla  ya  kujip...

About Me

My photo
WHITE DADAS
View my complete profile

POPULAR POST

  • FASHION:MISHONO YA VITENGE KWA WADADA
     
  • FAHAMU AINA 61 ZA UBANAJI WA NYWELE NA SIKUHIZI NAONA HATA KINA DADA WA BONGO WANATUMIA SANA BAADHI YA STYLES HIZI KATIKA WEAVING KUSUKA SUKA FULANI KWAKUWA HAWANA NYWELE NDEFU HAYA UBUNIFU HUO HAPO ZAIDI ENDAPO UNA WEAVING ORIGINAL UNAWEZA BANA HIVYO AU KUSUKA HIVYO ILA KUMBUKA TU WENZETU WAMEJALIWA NYWELE SO HIZO SIO FEKI
    ...
  • FASHION::MISHONO MIZURI YA MAGAUNI YA HARUSI ANGALIA HAPA..................
     
  • MAPENZI MATAMU SANA....MDADA FAHAMU NJIA 18 ZA "KUMSHIKA" KIDUME YEYOTE ULIMWENGUNI...!
    I was single once, but now i'm a wife and a mother. Nimekaa nikaona sio vibaya iwapo nta-share tips kadhaa zilizonisaidia kumuweka...
  • FASHION:Mishono Mipya ya vitenge kwa wadada hii sio ya kukosa shona upendeze
    Naweza kukiri kwamba kitenge na kanga ndio nguo pekee itakayo kutambulisha wewe kuwa ni mtu kutoka katika bara la Africa na itakufanya w...
  • MAANA HALISI YA RANGI KATIKA ISHARA, MUONEKANO WA MTU PAMOJA NA VITO VYA THAMANI.
    Rangi inaweza kuelezea hisia zetu, matendo yetu na hata namna tunavyoweza kuvichukulia vitu  katika masuala mbalimbali ikiwemo watu, vitu...
  • MISHONO MIPYA YA KITENGE 2014!!!
  • Kwa wanaume tu: Njia ya kuzuia kufikia kilele (kupizi) haraka
    Sababu ya tatizo hili huweza kuwa ya Kibaiolojia na Kiakili. Kama wewe  pia ni moja yao na unapenda kujua jinsi ya zuia hali hii, endelea...
  • SOMA HAPA KAMA HUWEZI KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI KWA MUDA MFUPI NA NAMNA YA KUMKUNA IPASAVYO!!!!
                    Karibuni katika somo jingine ndugu wapenzi wa blog hii na wale wa page yetu ya facebook. kumekuwa na maombi kama huwezi ...
  • FASHION:NGUO NDEFU PIA ZINAPENDEZA KWENYE KITCHEN PARTY CHECK HAPA.................
     

Blog Archive

Simple theme. Powered by Blogger.