Thursday 13 February 2014

HII NDIO MBINU MPYA WALIOKUJA NAYO WAKINADADA...NI SHIDAAA...!ZUBAA ULE ZA USO...


Kadri Mbinu zao zinavyozidi kujulikana ndivyo na wao wanavyobadili mbinu na kuja na New Models za kufikisha Ujumbe

WANAITWA WANAWAKE
Ile style yao ya Bebi naomba Laki 3 nna shida ntakurudishia after 1 week ilifeli..Ikaja ya Baby naomba Laki 1 ya Saluni nayo ime-expire...SASA WANA MUPYAAAA,Bado inanukia Upya kama Telegram...

Unakutana na demu,baada ya kuanzisha uhusiano mpya Wiki 2 tu anakupiga kibomu kitakatifu anakwambia ''Birthday yangu imekaribia halafu sina Hela..Ukimuuliza lini Bday yako anakwambia This Weekend 
 
Baby..Unamwambia sawa.Ukizingatia ndo mmeanza-anza hata uvungu hujapewa,kila kitu unajibu Yes kama Questionnaire ya uchumba.
 
Profile yake ya Facebook inaonyesha Birthday yake ni November 22....Birthday aliyokupiga mzinga ni February 15..Sasa unajiuliza huyu mwenzetu ana Birthday 2 kwa Mwaka?
 
Na ukimpa hiyo hela hata Birthday hutaalikwa,utaambiwa tu Baby,Ndo naenda kwenye Birthday tunafanyia huku kwa Bamkubwa huku Area C, tuko na shangazi yangu wa Hombolo na Wajomba zangu wale wa Ihumwa wamekuja.
Ukitajiwa Bamkubwa hutakuwa na hamu hata ya kwenda.MZINGA SUCCESSFUL HAPO.

Na huo mzinga wa Birthday anakuwa kawatumia SMS Wanaume kama 20 hivi,10 wakimpa hata kilo kilo,tayari ana  M2, unashangaa demu hana kazi,ndo anasubiria majibu ya Form 6 lakini ana Note 3 mpya,we unakazana kunyonga tai kurukia dala dala deile na kikwapa juu na mshahara wako wa benki,wewe una Nokia Asha button zimechokaaaaaa
 
NDELEENI KUTUKOMESHA....Demu una Birthday 3 kwa mwaka?mi nakuchora tu,au mwenzetu ulizaliwa kwa mafungu,February Kichwa...June Kiwiliwili...November Miguu hahahaha....
 SHTUKA MZEE...!!!

No comments:

Post a Comment