Monday 12 August 2013

"JAPO NILITUHUMIWA KUGAWA PENZI GESTI, LAKINI NIMEPIMA NA SINA UKIMWI.... NANI MJANJA??"...ROSE NDAUKA


Baada  ya  kukabiliwa  na  skendo  ya  kugawa  uroda  kwa  msanii  Nasry  ndani  ya  Gesti, Rose  ndauka  ameamua  kukimbilia  hospitalini  ili  kuchukua  vipimo  vya  gonjwa  hatari  la  Ukimwi.....


Kupitia  ukurasa  wake  wa  mtandao  mmoja  wa  kijamii, Ndauka  aliposti  picha  ya  majibu  ya  vipimo    vya  UKIMWI   vilivyochukuliwa  katika  hospitali  ya   TMJ iliyopo  jijini  Dar es salaam....



Majibu  ya  vipimo  hivyo  yalionesha  kuwa  Rose  Ndauka  yuko  NEGATIVE.


Baada  ya  picha  hiyo, comment  kibao  zilianza  kumiminika  toka  kwa  mashabiki  wake.Wapo  waliompongeza  na  wapo  waliomponda.....


Waliomponda  walihoji  ni  kwa  nini  kawahi  kupima  na  kuyaanika  majibu  mtandaoni  wakati  MIEZI  MITATU  TANGU  ATUHUMIWE  HAIJAISHA??????.


Kwa  kawaida, hawa  wadudu  huonekana  katika  mzunguko  wa  damu  baada  ya  siku  90  tangu  ufanye  tendo  la  ndoa.

No comments:

Post a Comment