Tuesday 17 September 2013

.JOHARI NA CHUCHU HANS WANAKUNG'UTANA MANGUMI MCHANA KWEUPEEE, KISA PENZI LA RAY

 
 
 
Wasanii wa filam nchini kwetu Tanzani Johari na Chuchu
Hansi wafumaniana nyumbani kwa msanii mkubwa Ray
sinza dar nchini Tanzania na Johari kumtwanga sana
Chuchu kwanini anakua na mahusiano ya kimapenzi na

mchumba wake basi johari alimjeruhi sana baada ya hapo
msanii tishio la jiji akawa amerudi ndio akaokoa ugomvi huo
lakini chuchu kaumia
.

No comments:

Post a Comment